3Yehoramu+ mwana wa Ahabu akawa mfalme wa Israeli kule Samaria katika mwaka wa 18 wa utawala wa Mfalme Yehoshafati wa Yuda, naye alitawala kwa miaka 12.
22 Mara tu Yehoramu alipomwona Yehu, akamuuliza: “Yehu, umekuja kwa amani?” Lakini akamjibu: “Kunawezaje kuwa na amani wakati kuna ukahaba wa Yezebeli+ mama yako na ulozi wake mwingi?”+