Zaburi 34:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Malaika wa Yehova hupiga kambi pande zote kuwazunguka wanaomwogopa Yeye,+Naye huwaokoa.+ Mathayo 26:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Au unafikiri siwezi kumwomba Baba yangu anipe sasa hivi vikosi zaidi ya 12 vya malaika?+