Kumbukumbu la Torati 32:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake,+Naye atawahurumia* watumishi wake+Atakapoona nguvu zao zimeisha,Na kwamba waliobaki ni wasio na uwezo na walio dhaifu peke yao. 2 Wafalme 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ilitendeka kama mtu wa Mungu wa kweli alivyokuwa amemwambia mfalme: “Kesho wakati kama huu, sea mbili za shayiri zitakuwa na thamani ya shekeli moja, na sea moja ya unga laini itakuwa na thamani ya shekeli moja katika lango la Samaria.”+
36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake,+Naye atawahurumia* watumishi wake+Atakapoona nguvu zao zimeisha,Na kwamba waliobaki ni wasio na uwezo na walio dhaifu peke yao.
18 Ilitendeka kama mtu wa Mungu wa kweli alivyokuwa amemwambia mfalme: “Kesho wakati kama huu, sea mbili za shayiri zitakuwa na thamani ya shekeli moja, na sea moja ya unga laini itakuwa na thamani ya shekeli moja katika lango la Samaria.”+