2 Wafalme 8:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Katika mwaka wa 12 wa utawala wa Yehoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli, Ahazia mwana wa Mfalme Yehoramu wa Yuda akawa mfalme.+ 2 Wafalme 8:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi Ahazia alienda pamoja na Yehoramu mwana wa Ahabu kupigana vita na Mfalme Hazaeli wa Siria kule Ramothi-gileadi,+ lakini Wasiria wakamjeruhi Yehoramu.+
25 Katika mwaka wa 12 wa utawala wa Yehoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli, Ahazia mwana wa Mfalme Yehoramu wa Yuda akawa mfalme.+
28 Basi Ahazia alienda pamoja na Yehoramu mwana wa Ahabu kupigana vita na Mfalme Hazaeli wa Siria kule Ramothi-gileadi,+ lakini Wasiria wakamjeruhi Yehoramu.+