2 Mambo ya Nyakati 24:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yehoashi alikuwa na umri wa miaka saba alipoanza kutawala,+ naye alitawala kwa miaka 40 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Sibia kutoka Beer-sheba.+ 2 Yehoashi aliendelea kutenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova sikuzote za kuhani Yehoyada.+
24 Yehoashi alikuwa na umri wa miaka saba alipoanza kutawala,+ naye alitawala kwa miaka 40 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Sibia kutoka Beer-sheba.+ 2 Yehoashi aliendelea kutenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova sikuzote za kuhani Yehoyada.+