Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 22:4-6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Panda uende kwa kuhani mkuu Hilkia+ umwambie akusanye pesa zote zinazoletwa katika nyumba ya Yehova+ ambazo walinzi wa malango wanakusanya kutoka kwa watu.+ 5 Waagize wawape wale waliowekwa kusimamia kazi katika nyumba ya Yehova, ili nao wawape wafanyakazi walio katika nyumba ya Yehova wanaopaswa kurekebisha sehemu zilizoharibika za* nyumba hiyo,+ 6 yaani, wawape mafundi, wajenzi, na waashi, ambao watazitumia kununua mbao na mawe yaliyochongwa ili kurekebisha nyumba hiyo.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 24:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kisha mfalme pamoja na Yehoyada waliwapa wale waliosimamia kazi katika utumishi wa nyumba ya Yehova, na wasimamizi hao waliwaajiri watu waliokata mawe na mafundi wa kurekebisha nyumba ya Yehova,+ na pia mafundi wa chuma na shaba ili kuirekebisha nyumba ya Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki