-
2 Wafalme 22:4-6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 “Panda uende kwa kuhani mkuu Hilkia+ umwambie akusanye pesa zote zinazoletwa katika nyumba ya Yehova+ ambazo walinzi wa malango wanakusanya kutoka kwa watu.+ 5 Waagize wawape wale waliowekwa kusimamia kazi katika nyumba ya Yehova, ili nao wawape wafanyakazi walio katika nyumba ya Yehova wanaopaswa kurekebisha sehemu zilizoharibika za* nyumba hiyo,+ 6 yaani, wawape mafundi, wajenzi, na waashi, ambao watazitumia kununua mbao na mawe yaliyochongwa ili kurekebisha nyumba hiyo.+
-