-
Yohana 11:44Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
44 Mtu huyo aliyekuwa amekufa akatoka, miguu na mikono yake ikiwa imefungwa kwa vitambaa, na uso wake ukiwa umefungwa kwa kitambaa. Yesu akawaambia: “Mfungueni, mmwache aende.”
-