11 Kisha Amazia akajipa ujasiri na kuwaongoza wanajeshi wake mwenyewe kwenye Bonde la Chumvi,+ akawaua wanaume 10,000 wa Seiri.+ 12 Na wanaume wa Yuda wakawateka watu 10,000 wakiwa hai. Wakawapandisha juu ya mwamba na kuwatupa chini kutoka kwenye mwamba huo, na wote wakavunjika vipandevipande.