Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 14:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Akawaua Waedomu+ katika Bonde la Chumvi,+ wanaume 10,000, akaliteka jiji la Sela katika vita hivyo,+ na tangu wakati huo jiji hilo likaitwa Yoktheeli.

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sasa tazama, ndio hawa wanaume wa Amoni, Moabu, na eneo lenye milima la Seiri,+ ambao hukuwaruhusu Waisraeli wawavamie walipotoka nchini Misri. Waligeuka na kwenda mbali nao na hawakuwaangamiza.+ 11 Sasa wanatulipa kwa kuja kutufukuza kutoka katika miliki yako uliyotupatia iwe urithi wetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki