23 “‘Yehova Mungu wa Israeli ndiye aliyewafukuza Waamori kutoka mbele ya watu wake Israeli,+ na sasa je, unataka kuwafukuza Waisraeli? 24 Je, humiliki nchi yoyote unayopewa na mungu wako Kemoshi?+ Basi kila mtu ambaye Yehova Mungu wetu amemfukuza kutoka mbele yetu, ndiye tutakayemfukuza.+