Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 11:23, 24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “‘Yehova Mungu wa Israeli ndiye aliyewafukuza Waamori kutoka mbele ya watu wake Israeli,+ na sasa je, unataka kuwafukuza Waisraeli? 24 Je, humiliki nchi yoyote unayopewa na mungu wako Kemoshi?+ Basi kila mtu ambaye Yehova Mungu wetu amemfukuza kutoka mbele yetu, ndiye tutakayemfukuza.+

  • Zaburi 83:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kwa maana, tazama! Maadui wako wanafanya fujo;+

      Wale wanaokuchukia wanatenda kwa kiburi.*

  • Zaburi 83:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Wanasema: “Njooni, acheni tuwaangamize wakiwa taifa,+

      Ili jina la Israeli lisikumbukwe tena kamwe.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki