2 Wafalme 15:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Katika mwaka wa 52 wa utawala wa Mfalme Azaria wa Yuda, Peka+ mwana wa Remalia akawa mfalme wa Israeli huko Samaria, naye alitawala kwa miaka 20. 2 Mambo ya Nyakati 28:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Peka+ mwana wa Remalia aliwaua watu 120,000 huko Yuda katika siku moja, wote walikuwa wanaume jasiri, kwa sababu Waisraeli walikuwa wamemwacha Yehova Mungu wa mababu zao.+
27 Katika mwaka wa 52 wa utawala wa Mfalme Azaria wa Yuda, Peka+ mwana wa Remalia akawa mfalme wa Israeli huko Samaria, naye alitawala kwa miaka 20.
6 Kwa maana Peka+ mwana wa Remalia aliwaua watu 120,000 huko Yuda katika siku moja, wote walikuwa wanaume jasiri, kwa sababu Waisraeli walikuwa wamemwacha Yehova Mungu wa mababu zao.+