2 Wafalme 15:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Siku hizo Yehova alianza kumtuma Resini mfalme wa Siria na Peka+ mwana wa Remalia kushambulia Yuda.+ Isaya 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sasa katika siku za Ahazi+ mwana wa Yothamu mwana wa Uzia, mfalme wa Yuda, Mfalme Resini wa Siria na Peka+ mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, walipanda ili kuja kupigana vita dhidi ya Yerusalemu, lakini alishindwa* kuliteka.+
37 Siku hizo Yehova alianza kumtuma Resini mfalme wa Siria na Peka+ mwana wa Remalia kushambulia Yuda.+
7 Sasa katika siku za Ahazi+ mwana wa Yothamu mwana wa Uzia, mfalme wa Yuda, Mfalme Resini wa Siria na Peka+ mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, walipanda ili kuja kupigana vita dhidi ya Yerusalemu, lakini alishindwa* kuliteka.+