2 Wafalme 15:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Siku hizo Yehova alianza kumtuma Resini mfalme wa Siria na Peka+ mwana wa Remalia kushambulia Yuda.+ 2 Mambo ya Nyakati 28:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Peka+ mwana wa Remalia aliwaua watu 120,000 huko Yuda katika siku moja, wote walikuwa wanaume jasiri, kwa sababu Waisraeli walikuwa wamemwacha Yehova Mungu wa mababu zao.+
37 Siku hizo Yehova alianza kumtuma Resini mfalme wa Siria na Peka+ mwana wa Remalia kushambulia Yuda.+
6 Kwa maana Peka+ mwana wa Remalia aliwaua watu 120,000 huko Yuda katika siku moja, wote walikuwa wanaume jasiri, kwa sababu Waisraeli walikuwa wamemwacha Yehova Mungu wa mababu zao.+