-
2 Mambo ya Nyakati 28:26, 27Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
26 Na mambo mengine katika historia yake, shughuli zake zote kuanzia mwanzo mpaka mwisho, yameandikwa katika Kitabu cha Wafalme wa Yuda na wa Israeli.+ 27 Kisha Ahazi akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake jijini Yerusalemu, kwa maana hawakumpeleka kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli.+ Na Hezekia mwanawe akawa mfalme baada yake.
-