2 Mambo ya Nyakati 21:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kisha Yehova akawachochea*+ Wafilisti+ na Waarabu+ walioishi karibu na Waethiopia ili wamshambulie Yehoramu. 2 Mambo ya Nyakati 21:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Alikuwa na umri wa miaka 32 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 8 huko Yerusalemu. Hakuna mtu yeyote aliyesikitishwa na kifo chake. Basi wakamzika katika Jiji la Daudi,+ lakini si katika makaburi ya wafalme.+ 2 Mambo ya Nyakati 33:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kisha Manase akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake nyumbani kwake; na Amoni mwanawe akawa mfalme baada yake.+
16 Kisha Yehova akawachochea*+ Wafilisti+ na Waarabu+ walioishi karibu na Waethiopia ili wamshambulie Yehoramu.
20 Alikuwa na umri wa miaka 32 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 8 huko Yerusalemu. Hakuna mtu yeyote aliyesikitishwa na kifo chake. Basi wakamzika katika Jiji la Daudi,+ lakini si katika makaburi ya wafalme.+
20 Kisha Manase akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake nyumbani kwake; na Amoni mwanawe akawa mfalme baada yake.+