Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Nakusihi, Ee Yehova, tafadhali, kumbuka jinsi ambavyo nimetembea mbele zako kwa uaminifu na kwa moyo kamili, nami nimetenda mambo mema machoni pako.”+ Kisha Hezekia akaanza kulia sana na kububujikwa na machozi.

  • 2 Mambo ya Nyakati 31:20, 21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hezekia alifanya hayo katika nchi yote ya Yuda, naye aliendelea kutenda mema na yaliyo sawa na ya uaminifu mbele za Yehova Mungu wake. 21 Na kila kazi aliyofanya ili kumtafuta Mungu wake, iwe ni kuhusiana na utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli+ au kuhusiana na Sheria na amri, aliifanya kwa moyo wote, naye alifanikiwa.

  • Zaburi 119:128
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 128 Kwa hiyo, ninayaona mafundisho* yote yanayotoka kwako kuwa yanafaa;+

      Ninaichukia kila njia ya uwongo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki