Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Katika taabu yangu nilimwita Yehova,+

      Niliendelea kumlilia Mungu wangu.

      Kisha akiwa katika hekalu lake akaisikia sauti yangu,

      Na kilio changu cha kuomba msaada kilifika masikioni mwake.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 ‘Tukipatwa na msiba, upanga, hukumu kali, au ugonjwa hatari, au njaa, na tusimame mbele ya nyumba hii na mbele zako (kwa maana jina lako limo katika nyumba hii)+ na kukulilia utusaidie katika taabu yetu, nawe usikie na kutuokoa.’+

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini Mfalme Hezekia na nabii Isaya+ mwana wa Amozi waliendelea kusali kuhusu jambo hilo na kuzililia mbingu ili wapate msaada.+

  • Zaburi 50:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nililie wakati wa taabu.+

      Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki