Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mfalme wa Ashuru aliivamia nchi nzima, naye akaja Samaria na kulizingira kwa miaka mitatu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Mfalme Senakeribu wa Ashuru anasema hivi: ‘Ni nini mnachotumainia kinachowafanya mkae Yerusalemu wakati limezingirwa?+

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Je, hamjui yale ambayo mimi na mababu zangu tuliyatendea mataifa yote ya nchi mbalimbali?+ Je, miungu ya mataifa ya nchi hizo iliweza kuwaokoa kutoka mikononi mwangu?+

  • Isaya 10:8-11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Kwa maana anasema,

      ‘Je, wakuu wangu wote si wafalme?+

       9 Je, Kalno+ si kama tu Karkemishi?+

      Je, Hamathi+ si kama Arpadi?+

      Je, Samaria+ si kama Damasko?+

      10 Mkono wangu umeziteka falme za miungu ya ubatili,

      Ambazo sanamu zao za kuchongwa zilikuwa nyingi kuliko zile za Yerusalemu na Samaria!+

      11 Je, sitaitendea pia Yerusalemu na sanamu zake

      Kama vile nilivyoitendea Samaria na miungu yake ya ubatili?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki