Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 83:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na waaibishwe na kuogopeshwa milele;

      Na wafedheheshwe na kuangamia;

      18 Na watu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+

      Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote.+

  • Isaya 45:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mimi ni Yehova, na hakuna mwingine yeyote.

      Hakuna Mungu ila mimi.+

      Nitakuimarisha,* ingawa hukunijua,

       6 Ili watu wajue

      Kutoka mashariki hadi magharibi*

      Kwamba hakuna mwingine ila mimi.+

      Mimi ni Yehova, na hakuna mwingine yeyote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki