Zaburi 83:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na waaibishwe na kuogopeshwa milele;Na wafedheheshwe na kuangamia;18 Na watu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote.+ Isaya 45:5, 6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mimi ni Yehova, na hakuna mwingine yeyote. Hakuna Mungu ila mimi.+ Nitakuimarisha,* ingawa hukunijua, 6 Ili watu wajueKutoka mashariki hadi magharibi*Kwamba hakuna mwingine ila mimi.+ Mimi ni Yehova, na hakuna mwingine yeyote.+
17 Na waaibishwe na kuogopeshwa milele;Na wafedheheshwe na kuangamia;18 Na watu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote.+
5 Mimi ni Yehova, na hakuna mwingine yeyote. Hakuna Mungu ila mimi.+ Nitakuimarisha,* ingawa hukunijua, 6 Ili watu wajueKutoka mashariki hadi magharibi*Kwamba hakuna mwingine ila mimi.+ Mimi ni Yehova, na hakuna mwingine yeyote.+