7 Hii ndiyo ishara kutoka kwa Yehova itakayokuonyesha kwamba Yehova atatimiza neno alilosema:+ 8 Nitafanya kivuli cha jua kinachoshuka kwenye ngazi ya Ahazi kirudi nyuma hatua kumi.”’”+ Basi jua likarudi nyuma hatua kumi kwenye ngazi ambayo tayari lilikuwa limeshuka.