Isaya 28:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nami nitaifanya haki kuwa kamba ya kupimia+Na uadilifu utakuwa kifaa cha kusawazishia;*+Na mvua ya mawe itafagilia mbali kimbilio la uwongo,Na maji yatafurika mahali pa kujificha. Maombolezo 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ameazimia kuuharibu ukuta wa binti ya Sayuni.+ Ameinyoosha kamba ya kupimia.+ Hajauzuia mkono wake usilete maangamizi.* Naye husababisha maboma na kuta ziomboleze. Zote pamoja zimedhoofishwa.
17 Nami nitaifanya haki kuwa kamba ya kupimia+Na uadilifu utakuwa kifaa cha kusawazishia;*+Na mvua ya mawe itafagilia mbali kimbilio la uwongo,Na maji yatafurika mahali pa kujificha.
8 Yehova ameazimia kuuharibu ukuta wa binti ya Sayuni.+ Ameinyoosha kamba ya kupimia.+ Hajauzuia mkono wake usilete maangamizi.* Naye husababisha maboma na kuta ziomboleze. Zote pamoja zimedhoofishwa.