2 Wafalme 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka jiji la Samaria.+ Kisha akawapeleka Waisraeli uhamishoni+ kule Ashuru na kuwaweka katika eneo la Hala na Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi ili waishi humo.+ Ezekieli 23:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Utalemewa na* ulevi na huzuni, Kikombe cha hofu na ukiwa, Kikombe cha dada yako, Samaria.
6 Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka jiji la Samaria.+ Kisha akawapeleka Waisraeli uhamishoni+ kule Ashuru na kuwaweka katika eneo la Hala na Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi ili waishi humo.+