Kumbukumbu la Torati 32:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana watu wa Yehova ni fungu lake;+Yakobo ni urithi wake.+ 2 Wafalme 17:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo Yehova akawakasirikia sana Waisraeli hivi kwamba akawaondoa mbele zake.+ Hakumwacha yeyote abaki isipokuwa watu wa kabila la Yuda peke yao.
18 Kwa hiyo Yehova akawakasirikia sana Waisraeli hivi kwamba akawaondoa mbele zake.+ Hakumwacha yeyote abaki isipokuwa watu wa kabila la Yuda peke yao.