Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 9:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Halafu nikachukua kile kitu cha dhambi mlichokitengeneza, yule ndama,+ na kumteketeza kwa moto; nikamponda na kumsagasaga kabisa mpaka akawa laini kama mavumbi, nami nikayatupa mavumbi hayo katika kijito kinachotiririka kutoka mlimani.+

  • Kumbukumbu la Torati 31:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa maana najua vizuri kwamba baada ya kifo changu hakika mtatenda maovu+ na kuacha njia ambayo nimewaamuru ninyi. Na bila shaka mtapatwa na msiba+ siku zijazo, kwa sababu mtatenda maovu machoni pa Yehova, nanyi mtamkasirisha kwa kazi za mikono yenu.”

  • Waamuzi 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Waisraeli wakatenda maovu machoni pa Yehova, wakaabudu* Mabaali.+

  • Waamuzi 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wakamwacha Yehova na kuabudu Baali na sanamu za Ashtorethi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki