Mwanzo 46:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wana wa Rubeni walikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi.+ Kutoka 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Hawa ndio viongozi wa nyumba ya baba zao: Wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli,+ walikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi.+ Hizo ndizo koo za Rubeni.
14 Hawa ndio viongozi wa nyumba ya baba zao: Wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli,+ walikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi.+ Hizo ndizo koo za Rubeni.