Hesabu 3:5-7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kisha Yehova akamwambia Musa, 6 “Walete watu wa kabila la Lawi+ mbele ya kuhani Haruni ili wamhudumie.+ 7 Watatimiza wajibu wao wa kumtumikia na kuwatumikia Waisraeli wote mbele ya hema la mkutano kwa kufanya kazi za hema la ibada.
5 Kisha Yehova akamwambia Musa, 6 “Walete watu wa kabila la Lawi+ mbele ya kuhani Haruni ili wamhudumie.+ 7 Watatimiza wajibu wao wa kumtumikia na kuwatumikia Waisraeli wote mbele ya hema la mkutano kwa kufanya kazi za hema la ibada.