Mwanzo 30:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Raheli akamwambia: “Ndiye huyu kijakazi wangu Bilha.+ Lala naye ili anizalie watoto,* na ili kupitia yeye, mimi pia nipate watoto.” Mwanzo 30:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha Raheli akasema: “Nimepigana mieleka mikali sana na dada yangu. Na pia nimeibuka mshindi!” Kwa hiyo akampa jina Naftali.*+ Mwanzo 46:24, 25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Wana wa Naftali+ walikuwa Yahzeeli, Guni, Yezeri, na Shilemu.+ 25 Hao ndio wana wa Bilha, kijakazi ambaye Labani alimpa Raheli binti yake. Alimzalia Yakobo wana hao: wote walikuwa saba.
3 Raheli akamwambia: “Ndiye huyu kijakazi wangu Bilha.+ Lala naye ili anizalie watoto,* na ili kupitia yeye, mimi pia nipate watoto.”
8 Kisha Raheli akasema: “Nimepigana mieleka mikali sana na dada yangu. Na pia nimeibuka mshindi!” Kwa hiyo akampa jina Naftali.*+
24 Wana wa Naftali+ walikuwa Yahzeeli, Guni, Yezeri, na Shilemu.+ 25 Hao ndio wana wa Bilha, kijakazi ambaye Labani alimpa Raheli binti yake. Alimzalia Yakobo wana hao: wote walikuwa saba.