-
Waamuzi 20:15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Siku hiyo Wabenjamini walikusanya wanaume 26,000 wenye mapanga kutoka katika majiji yao, na pia wanaume 700 mashujaa kutoka Gibea.
-
-
1 Mambo ya Nyakati 12:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Hao ndio wanaume walioenda kumwona Daudi kule Siklagi+ wakati ambapo hakuwa na uhuru wa kutembea popote kwa sababu ya Sauli+ mwana wa Kishi, nao walikuwa miongoni mwa mashujaa hodari waliomuunga mkono vitani.+ 2 Walijihami kwa upinde, nao waliweza kutumia mkono wa kulia na mkono wa kushoto+ kurusha mawe kwa kombeo+ au kupiga mishale kwa upinde. Walikuwa wazao wa ndugu za Sauli, kutoka Benjamini.+
-