1 Mambo ya Nyakati 12:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na hawa ndio waliomjia Daudi kule Siklagi+ alipokuwa angali chini ya vizuizi kwa sababu ya Sauli+ mwana wa Kishi; nao walikuwa kati ya wale wanaume wenye nguvu,+ wasaidizi katika vita,
12 Na hawa ndio waliomjia Daudi kule Siklagi+ alipokuwa angali chini ya vizuizi kwa sababu ya Sauli+ mwana wa Kishi; nao walikuwa kati ya wale wanaume wenye nguvu,+ wasaidizi katika vita,