Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 11:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Daudi akamtuma mtu fulani aulize kuhusu mwanamke huyo, mtu huyo akamwambia: “Ni Bath-sheba,+ binti ya Eliamu;+ mke wa Uria+ Mhiti.”+

  • 2 Samweli 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wanaume wa jiji walipotoka nje na kupigana na Yoabu, baadhi ya watumishi wa Daudi waliuawa, na Uria Mhiti alikuwa miongoni mwa watu waliouawa.+

  • 2 Samweli 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa nini ulilidharau neno la Yehova, kwa kutenda lililo ovu machoni pake? Ulimuua Uria Mhiti kwa upanga!+ Kisha ukamchukua mke wake awe mke wako+ baada ya kumuua Uria kwa upanga wa Waamoni.+

  • 1 Wafalme 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana Daudi alitenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, naye hakugeuka na kuacha jambo lolote ambalo Yeye alikuwa amemwamuru sikuzote za maisha yake, isipokuwa kuhusiana na kisa cha Uria, Mhiti.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki