-
2 Samweli 6:9-11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Basi Daudi akamwogopa Yehova+ siku hiyo na kusema: “Sanduku la Yehova linawezaje kuja kwangu?”+ 10 Daudi hakutaka kuleta Sanduku la Yehova mahali alipokuwa katika Jiji la Daudi.+ Badala yake, Daudi aliagiza lipelekwe katika nyumba ya Obed-edomu,+ Mgathi.
11 Sanduku la Yehova likaendelea kukaa katika nyumba ya Obed-edomu Mgathi kwa miezi mitatu, na Yehova akazidi kumbariki Obed-edomu na nyumba yake yote.+
-