17 Abramu alipokuwa na umri wa miaka 99, Yehova alimtokea na kumwambia: “Mimi ni Mungu Mweza-Yote. Tembea mbele zangu na ujithibitishe mwenyewe kuwa bila kosa. 2 Nitaimarisha agano langu kati yangu na wewe,+ nami nitawafanya wazao wako wawe wengi, wengi sana.”+