8 Anakumbuka agano lake milele,+
Ahadi aliyotoa, hata kufikia vizazi elfu,+
9 Agano alilofanya na Abrahamu,+
Na kiapo alichomwapia Isaka,+
10 Alichotoa kama amri kwa Yakobo
Na kama agano la kudumu kwa Israeli,
11 Akisema, “Nitakupa nchi ya Kanaani+
Kuwa urithi wako uliogawiwa.”+