12 Wakati walipokuwa wachache,+
Naam, wachache sana, nao walikuwa wageni nchini.+
13 Walitembeatembea kutoka taifa moja hadi taifa lingine,
Kutoka ufalme mmoja hadi ufalme mwingine.+
14 Hakumruhusu mtu yeyote awakandamize,+
Lakini kwa sababu yao aliwakaripia wafalme,+
15 Akisema, “Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,
Wala msiwatendee manabii wangu jambo lolote baya.”+