Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 34:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Basi Yakobo akawaambia Simeoni na Lawi:+ “Mmeniletea taabu kubwa* kwa kunifanya niwe uvundo kwa wakaaji wa nchi hii, Wakanaani na Waperizi. Nina watu wachache, nao kwa hakika wataungana na kunishambulia, nao wataniangamiza, mimi na nyumba yangu.”

  • Kumbukumbu la Torati 26:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Halafu utatangaza hivi mbele za Yehova Mungu wako: ‘Baba yangu alikuwa Mwaramu aliyekuwa akitangatanga,*+ akashuka kwenda Misri+ na kukaa huko akiwa mgeni, akiwa na watu wachache wa familia yake.+ Lakini huko akawa taifa kubwa, lenye nguvu na lenye watu wengi.+

  • Zaburi 105:12-15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakati walipokuwa wachache,+

      Naam, wachache sana, nao walikuwa wageni nchini.+

      13 Walitembeatembea kutoka taifa moja hadi taifa lingine,

      Kutoka ufalme mmoja hadi ufalme mwingine.+

      14 Hakumruhusu mtu yeyote awakandamize,+

      Lakini kwa sababu yao aliwakaripia wafalme,+

      15 Akisema, “Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,

      Wala msiwatendee manabii wangu jambo lolote baya.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki