Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 17:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nami nitakupa wewe na uzao wako* baada yako nchi ambamo uliishi ukiwa mgeni+—nchi yote ya Kanaani—iwe miliki ya kudumu, nami nitakuwa Mungu wao.”+

  • Mwanzo 23:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Mimi ni mgeni na mhamiaji miongoni mwenu.+ Nipeni ardhi ya kuzikia miongoni mwenu ili niweze kuwazika watu wangu waliokufa.”

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:19-22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mlipokuwa wachache,

      Naam, wachache sana, nanyi mlikuwa wageni nchini.+

      20 Walitembeatembea kutoka taifa moja hadi taifa lingine,

      Kutoka ufalme mmoja hadi ufalme mwingine.+

      21 Hakumruhusu mtu yeyote awakandamize,+

      Lakini kwa sababu yao aliwakaripia wafalme,+

      22 Akisema, ‘Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,

      Wala msiwatendee manabii wangu jambo lolote baya.’+

  • Matendo 7:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo akaondoka katika nchi ya Wakaldayo, akaanza kuishi Harani. Na kutoka hapo, baada ya baba yake kufa,+ Mungu akamwagiza ahamie nchi hii ambayo mnaishi sasa.+ 5 Lakini hakumpa urithi wowote ndani yake, hapana, hata sehemu ya kutosha kukanyaga kwa mguu; bali aliahidi atampa aimiliki yeye na baada yake uzao wake,*+ ingawa bado hakuwa na mtoto.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki