21 Baada ya hayo Musa akakubali kuishi na mtu huyo, naye akampa Musa binti yake aliyeitwa Sipora+ ili amwoe. 22 Baadaye Sipora akazaa mwana, naye Musa akamwita mwana huyo Gershomu,*+ kwa sababu alisema: “Nimekuwa mkaaji mgeni katika nchi ya kigeni.”+