20 Na wana wa Yuda kulingana na koo zao walikuwa: kutoka kwa Shela,+ ukoo wa Washela; kutoka kwa Perezi,+ ukoo wa Waperezi; kutoka kwa Zera,+ ukoo wa Wazera. 21 Na wana wa Perezi walikuwa: kutoka kwa Hezroni,+ ukoo wa Wahezroni; kutoka kwa Hamuli,+ ukoo wa Wahamuli.