2 Wafalme 12:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hata hivyo, watumishi wake walipanga njama dhidi ya Yehoashi+ na kumuua katika nyumba ya Kilima,*+ katika njia inayoshuka kwenda Sila. 2 Mambo ya Nyakati 25:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kuanzia wakati ambapo Amazia aligeuka na kuacha kumfuata Yehova, walipanga njama+ dhidi yake huko Yerusalemu, akakimbilia Lakishi, lakini wakawatuma watu wamfuatie huko Lakishi, nao wakamuua huko.
20 Hata hivyo, watumishi wake walipanga njama dhidi ya Yehoashi+ na kumuua katika nyumba ya Kilima,*+ katika njia inayoshuka kwenda Sila.
27 Kuanzia wakati ambapo Amazia aligeuka na kuacha kumfuata Yehova, walipanga njama+ dhidi yake huko Yerusalemu, akakimbilia Lakishi, lakini wakawatuma watu wamfuatie huko Lakishi, nao wakamuua huko.