2 Mambo ya Nyakati 25:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Amazia alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 29 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Yehoadani wa Yerusalemu.+ 2 Mambo ya Nyakati 25:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mara tu ufalme ulipoimarika kabisa mikononi mwake, aliwaua watumishi wake waliomuua mfalme, baba yake.+
25 Amazia alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 29 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Yehoadani wa Yerusalemu.+
3 Mara tu ufalme ulipoimarika kabisa mikononi mwake, aliwaua watumishi wake waliomuua mfalme, baba yake.+