2 Wafalme 25:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mfalme Nebukadneza wa Babiloni akamchagua Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani+ awasimamie watu aliowaacha katika nchi ya Yuda.+ Yeremia 40:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wakamwambia: “Je, hujui kwamba Baalisi mfalme wa Waamoni,+ amemtuma Ishmaeli mwana wa Nethania akuue?”*+ Lakini Gedalia mwana wa Ahikamu hakuwaamini.
22 Mfalme Nebukadneza wa Babiloni akamchagua Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani+ awasimamie watu aliowaacha katika nchi ya Yuda.+
14 Wakamwambia: “Je, hujui kwamba Baalisi mfalme wa Waamoni,+ amemtuma Ishmaeli mwana wa Nethania akuue?”*+ Lakini Gedalia mwana wa Ahikamu hakuwaamini.