Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kisha nabii Miriamu, dada ya Haruni, akachukua tari, na wanawake wote wakamfuata wakiwa na matari yao wakicheza dansi.

  • Waamuzi 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi Debora, nabii wa kike,+ mke wa Lapidothi, ndiye aliyekuwa mwamuzi wa Israeli wakati huo.

  • Luka 2:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kulikuwa na nabii wa kike aliyeitwa Ana, binti ya Fanueli, wa kabila la Asheri, ambaye alikuwa amezeeka. Alikuwa ameishi na mume wake kwa miaka saba baada ya kuolewa,*

  • Matendo 21:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Siku iliyofuata tukaondoka na kufika Kaisaria, tukaingia katika nyumba ya Filipo mweneza-injili, aliyekuwa mmoja wa wale wanaume saba,+ nasi tukakaa pamoja naye. 9 Mtu huyo alikuwa na binti wanne ambao hawakuwa wameolewa,* nao walitoa unabii.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki