Mambo ya Walawi 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Katika siku ya 14 ya mwezi wa kwanza,+ wakati wa jioni kabla ya giza kuingia* ni Pasaka+ ya Yehova. Kumbukumbu la Torati 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Adhimisheni mwezi wa Abibu* na msherehekee Pasaka ya Yehova Mungu wenu,+ kwa sababu katika mwezi wa Abibu, Yehova Mungu wenu aliwatoa nchini Misri wakati wa usiku.+
5 Katika siku ya 14 ya mwezi wa kwanza,+ wakati wa jioni kabla ya giza kuingia* ni Pasaka+ ya Yehova.
16 “Adhimisheni mwezi wa Abibu* na msherehekee Pasaka ya Yehova Mungu wenu,+ kwa sababu katika mwezi wa Abibu, Yehova Mungu wenu aliwatoa nchini Misri wakati wa usiku.+