Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 40:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Musa alishindwa kuingia ndani ya hema la mkutano kwa sababu wingu liliendelea kulifunika, na utukufu wa Yehova ukajaa katika hema hilo.+

  • Hesabu 4:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Utawaandikisha wana wa Merari+ kulingana na familia zao na ukoo wao.*

  • Hesabu 4:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Ni jukumu lao kubeba+ vitu vifuatavyo vinavyohusiana na utumishi wao katika hema la mkutano: viunzi+ vya hema la ibada, fito zake,+ nguzo zake,+ vikalio vyake;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki