20 Kisha akachukua yale mabamba ya Ushahidi+ na kuyaweka ndani ya sanduku la Ushahidi,+ akatia fito+ kwenye pete za Sanduku hilo na kuweka kifuniko+ juu ya Sanduku hilo.+
9 Hakukuwa na kitu kingine ndani ya Sanduku hilo isipokuwa yale mabamba mawili ya mawe+ ambayo Musa aliyaweka humo+ kule Horebu, Yehova alipofanya agano+ na Waisraeli walipokuwa wakitoka nchini Misri.+