1 Mambo ya Nyakati 29:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na Yehova akamfanya Sulemani kuwa mkuu sana machoni pa Waisraeli wote na kumpa fahari ya kifalme ambayo hakuna mfalme yeyote wa Israeli aliyewahi kuwa nayo kabla yake.+ 2 Mambo ya Nyakati 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa hiyo Mfalme Sulemani alikuwa na utajiri mwingi zaidi na hekima kuliko wafalme wengine wote duniani.+ Mhubiri 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi nikawa mkuu, nikamzidi mtu yeyote aliyenitangulia Yerusalemu.+ Nami nikaendelea kuwa na hekima yangu.
25 Na Yehova akamfanya Sulemani kuwa mkuu sana machoni pa Waisraeli wote na kumpa fahari ya kifalme ambayo hakuna mfalme yeyote wa Israeli aliyewahi kuwa nayo kabla yake.+
22 Kwa hiyo Mfalme Sulemani alikuwa na utajiri mwingi zaidi na hekima kuliko wafalme wengine wote duniani.+
9 Basi nikawa mkuu, nikamzidi mtu yeyote aliyenitangulia Yerusalemu.+ Nami nikaendelea kuwa na hekima yangu.