2 Wafalme 19:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kisha Isaya mwana wa Amozi akatuma ujumbe huu kwa Hezekia: “Yehova Mungu wa Israeli anasema, ‘Nimesikia sala yako+ ambayo umenitolea kumhusu Mfalme Senakeribu wa Ashuru.+ 2 Mambo ya Nyakati 30:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Hatimaye makuhani Walawi wakasimama na kuwabariki watu;+ na Mungu akasikia sauti yao, na sala yao ikafika katika makao yake matakatifu, mbinguni.
20 Kisha Isaya mwana wa Amozi akatuma ujumbe huu kwa Hezekia: “Yehova Mungu wa Israeli anasema, ‘Nimesikia sala yako+ ambayo umenitolea kumhusu Mfalme Senakeribu wa Ashuru.+
27 Hatimaye makuhani Walawi wakasimama na kuwabariki watu;+ na Mungu akasikia sauti yao, na sala yao ikafika katika makao yake matakatifu, mbinguni.