1 Wafalme 1:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kuhani Sadoki na nabii Nathani watamtia mafuta+ huko awe mfalme wa Israeli; kisha pigeni pembe na kusema, ‘Mfalme Sulemani na aishi muda mrefu!’+ Zaburi 18:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Yeye hutenda matendo makuu ya wokovu kwa ajili ya mfalme wake;*+Humtendea mtiwa-mafuta wake kwa upendo mshikamanifu,+Kwa Daudi na kwa uzao wake* milele.+
34 Kuhani Sadoki na nabii Nathani watamtia mafuta+ huko awe mfalme wa Israeli; kisha pigeni pembe na kusema, ‘Mfalme Sulemani na aishi muda mrefu!’+
50 Yeye hutenda matendo makuu ya wokovu kwa ajili ya mfalme wake;*+Humtendea mtiwa-mafuta wake kwa upendo mshikamanifu,+Kwa Daudi na kwa uzao wake* milele.+