Mhubiri 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nikajikusanyia fedha na dhahabu,+ hazina za* wafalme na za mikoa.+ Nikajikusanyia waimbaji wa kiume na wa kike, na pia chanzo cha raha tele kwa wanaume—mwanamke, naam, wanawake wengi.
8 Nikajikusanyia fedha na dhahabu,+ hazina za* wafalme na za mikoa.+ Nikajikusanyia waimbaji wa kiume na wa kike, na pia chanzo cha raha tele kwa wanaume—mwanamke, naam, wanawake wengi.