Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 21:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Je, umeona jinsi ambavyo Ahabu amejinyenyekeza kwa sababu yangu?+ Kwa sababu amejinyenyekeza mbele zangu, sitauleta msiba huo akiwa hai. Nitailetea nyumba yake msiba huo katika siku za mwanawe.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:26, 27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Lakini mwambieni hivi mfalme wa Yuda aliyewatuma kutafuta ushauri wa Yehova: “Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Kuhusu maneno ambayo umesikia,+ 27 kwa sababu moyo wako ulikuwa msikivu,* nawe ukajinyenyekeza mbele za Mungu uliposikia mambo yake kuhusu mahali hapa na wakaaji wake, ukajinyenyekeza mbele zangu na kuyararua mavazi yako na kulia mbele zangu, mimi pia nimekusikia,+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki