9 Watumishi wangu watateremsha magogo kutoka Lebanoni hadi baharini, nami nitayafunga magogo hayo mafungu-mafungu ili yaelee baharini mpaka mahali utakaponiambia. Nitaagiza yafunguliwe, kisha unaweza kuyabeba. Na wewe utanipa chakula nitakachoomba kwa ajili ya nyumba yangu.”+